Thursday, July 5, 2012

WALE FT. MEEK MILL & RICK ROSS-AMBITION(OFFICIAL VIDEO)

Wale - Ambition feat. Meek Mill & Rick Ross

KOREA KUSINI KUVUA NYANGUMI

Korea Kusini imetangaza kuwa inataka kuanza uwindaji wa nyangumi chini ya sheria inayoruhusu uvuvi wa nyangumi kwa minajili ya utafiti wa kisayansi, kama vile serikali ya Japan inavyofanya kwa sasa.                                                                                                                                                                       
Serikali ya Korea Kusini, ilifichua hayo wakati wa mkutano wa kimataifa wa baraza linalosimamia na kulinda maslahi ya nyangumi nchini Panama, ambako walikuwa wakiwasilisha mipango yao kwa kamati ya sayansi ili kuchunguzwa.
Nyangumi hao watawindwa karibu na pwani ya Korea lakini haijulikana ni wangapi.
Uvuvi wa nyangumi kwa minajili ya biashara imepigwa marufuku chini ya sheria za kimataifa, lakini uwindaji wa nyangumi kwa minajili ya utafiti unaruhusiwa, hata kama nyama yake italiwa baadaye.
Korea ina historia ya ulaji wa nyama ya nyangumi kuliko eneo lolote ulimwenguni, na inakisiwa kuwa urauibu huo ulianza takriban miaka elfu nane iliyopita.

NEW TRACK: FID Q FT. YVONNE MWALE-SIITAJI MARAFIKI


Wednesday, July 4, 2012

HUYU NDIO MWIMBAJI ALIEKUBALI HADHARANI KWAMBA YEYE NI SHOGA.

Kwa Afrika ni uamuzi mgumu sana kufikia kukubali tena hadharani kwamba uko kwenye uhusiano wa kimapenzi wa jinsia moja, lakini kwa nchi nyingine zilizoendelea sio kitu kigumu sana.
Ni uamuzi mgumu pamoja na kwamba tumeona mataifa makubwa yakiunga mkono ushoga pamoja na watu maarufu kama mmoja wa maboss wa mtandao wa Facebook Chris Hughes kumuoa mwanaume mwenzake, Rais Obama wa Marekani, Jay Z na watu wengine pia wameonyesha msimamo wao kwamba hawana tatizo na ndoa za jinsia moja.
Baada ya kukupa Intro yote hiyo hapo juu stori kamili ni kwamba Staa wa muziki wa RNB kutoka Marekani Frank Ocean (24) amekubali hadharani kwamba yeye ni shoga, yani amekua akishiriki mapenzi ya jinsia moja.
Haya yote yamefahamika baada ya Ocean kuamua kuandika barua kuhusu ishu yake ya kushiriki mapenzi ya jinsia moja baada ya fununu kusikika kwa muda mrefu ambapo amesema alipokua na umri wa miaka 19 ndio alifall inlove kwa mwanaume aliependa anavyosmile pamoja na mambo mengine yaliyomvutia, Kwenye album yake mpya pia kuna baadhi ya mistari inayomsifia mwanaume kimapenz katika nyimbo zisizopungua tatu.






Hiyo hapo chini ni video ya moja kati ya nyimbo zake, unaweza kuitazama kama ulikua humfahamu…


Tuesday, July 3, 2012

HOME TEST KIT FOR HIV


A home test for HIV could go on sale within months in the US after being given the go-ahead by regulators.
The OraQuick In-Home HIV test is expected to be available from October at 30,000 American retail outlets, its manufacturer said, with the kit allowing people to obtain a result within 20 to 40 minutes.
It will be the first over-the-counter home testing kit for HIV - the virus that leads to Acquired Immune Deficiency Syndrome (Aids).
The US Food and Drug Administration (FDA) and the company that makes the kit, OraSure Technologies, hailed the approval as a major advance in detecting Human Immunodeficiency Virus infections.
The test procedure involves taking an oral fluid sample collected by swabbing the upper and lower gums inside a person's mouth, placing the sample into the kit's developer vial and then waiting for the result.
The FDA noted that a positive result from the test does not mean a person is definitely infected with HIV, but rather that an additional test should be done in a medical setting to confirm the result.
"Similarly, a negative test result does not mean that an individual is definitely not infected with HIV, particularly when exposure may have been within the previous three months," the FDA said in a statement.
The home testing kit, which detects both type 1 and type 2 HIV antibodies, could identify large numbers of previously undiagnosed infections, according to the FDA.
Clinical studies for self-testing have shown that the OraQuick home HIV test has an expected performance of 92% for test sensitivity, the percentage of results that will be positive when HIV is present.
"This means that one false negative result would be expected out of every 12 test results in HIV-infected individuals," the FDA said.
Similar testing indicates that one false positive would be expected out of every 5,000 test results in uninfected individuals, according to the FDA, which is responsible for regulating medication in the US.
A spokeswoman for OraSure Technologies said a price for the over-the-counter test kit had not been decided but it would be higher than the $17 (£11) charged for a similar product sold to hospitals, clinics and doctors.

.GALLERY: GUINNESS WORLD RECORDS E-BOOK RELEASED


  • John Evans balanced a Mini car weighing a total of 159.6kg (352lb) on his head for 33 seconds. He is featured in the new Guinness World Records e-book: Totally Bonkers Sporting Champions.


  • Iona Luvsandorj holds the record for longest time to hold the Marinelli bend position.


  • Kenichi Ito set the record for the fastest 100m on all fours in a time of 18.58 seconds at Setagaya Kuritsu Sogo Undojyo, Tokyo, Japan.


  • Christopher Irmscher ran the fastest 100m hurdles wearing swim fins in 14.82 seconds.


  • Darren Taylor achieved the highest shallow dive in history when he plunged from a height of 11.20m into 30cm of water in Changzhou City, Jiangsu Province, China.


  • Ilker Yilmaz holds the record for milk squirting from the eye.


  • Kevin Fast holds the record for heaviest vehicle pulled over 100ft.


  • Oliver Gratzer holds the record for most domestic appliances thrown in one minute.


  • Cinderella May holds the record for highest jump by a dog.


  • Team Kangaroos from Norway hold the record for most trampoline basketball slam dunks by a team in one minute, at 28.